Luke 6:1

Bwana Wa Sabato

(Mathayo 12:1-8; Marko 2:23-28)

1 aIkawa siku moja ya Sabato Isa alikuwa akipita katika mashamba ya nafaka, nao wanafunzi wake wakaanza kuvunja masuke ya nafaka, wakayafikicha kwa mikono yao na kula punje zake.
Copyright information for SwhKC